Thursday, December 5, 2013

Mradi wa kujengea uwezo wajasiriamali wadogo na wa kati (SME)

Kila mwaka, benki ya KCB Tanzania imekuwa ikiendesha semina kwa wajasiriamali wadogo na wa kati.
Mradi ambao hujulikana kama SME Capacity Building Project. Jijini Mwanza, semina hii ilifanyika pale JB Belmont Hotel siku ya tarehe 21 Novemba, 2013.
Washiriki mbalimbali, wengi wao wakiwa ni wateja wa KCB Bank Tanzania Limited walihudhuria.
Ilikuwa ni yenye manufaa kwa kila mpenda maendeleo.
Pichani: Mkurugenzi wa Nyanza Information Centre, Musa George akipokea cheti cha ushiriki.


Wednesday, July 3, 2013

Maonesho na Semina vilifanyika kwa Ufanisi

Banda la Semina kwenye Uwanja wa Nyamagana. Semina ikiendelea..siku ya pili.

Washiriki wakijisajili kwenye daftari la mahudhurio asubuhi kabla ya semina.

Washiriki wakipatiwa makabrasha, ili kujiweka tayari kuingia kwenye mabanda ya semina uwanjani.