Wednesday, July 3, 2013

Maonesho na Semina vilifanyika kwa Ufanisi

Banda la Semina kwenye Uwanja wa Nyamagana. Semina ikiendelea..siku ya pili.

Washiriki wakijisajili kwenye daftari la mahudhurio asubuhi kabla ya semina.

Washiriki wakipatiwa makabrasha, ili kujiweka tayari kuingia kwenye mabanda ya semina uwanjani.